Pages

The Green Maasai Members

The Green Maasai Members

The group members gathering.

The Green Maasai Members

The group members gathering

The Green Maasai Cheif Executive

Mr. Joseph N

Friday, February 22, 2013

Like diamonds in the sky': Chris Brown nuzzles into Rihanna as pop star shares intimate pictures of her 25th birthday bash

By Jade Watkins



They were spotted enjoying a romantic stroll during her 25th birthday celebrations in Hawaii earlier in the day.
And as Rihanna blew out the candles on her cake at a party later in the evening, her on/off boyfriend Chris Brown was once again right by her side.
In intimate snaps the pop star shared on her Instagram account on Wednesday, the rapper is seen nuzzling into the singer's neck as the Loud star wraps her arms around him.
Her birthday wish came true: Chris Brown nuzzles into Rihanna's neck in a romantic snap the singer shared on her Instagram account on Wednesday
Her birthday wish came true: Chris Brown nuzzles into Rihanna's neck in a romantic snap the singer shared on her Instagram account on Wednesday
Dressed in a revealing white cut-out dress, Rihanna's huge smile says it all.
She simply captioned the snap: 'Like #diamonds in the sky', the lyrics from her recent hit song.
In another more cheeky snap, captioned '#birthdaybehavior', Brown is seen with his hands around her waist, resting his face on her arm as Rihanna pulls a sultry pose.
Touchy-feely: In another more cheeky snap, captioned '#birthdaybehavior', Brown is seen with his hands around her waist, resting his face on her arm as Rihanna pulls a sultry pose
Touchy-feely: In another more cheeky snap, captioned '#birthdaybehavior', Brown is seen with his hands around her waist, resting his face on her arm as Rihanna pulls a sultry pose

Staying close: Rihanna wraps her arm around her on/off boyfriend as they share a moment at her party
Staying close: Rihanna wraps her arm around her on/off boyfriend as they share a moment at her party
The party, which appears to have been held in a private room at the couple's Hawaiian hotel, seems to have got quite rowdy with Rihanna ending up with cake all over her face.
The dessert in question was, of course, decorated with gold marijuana leaves, a nod to her love for the green leaf.
Rihanna posted a snap of the two-tiered creation which was also frosted in Rastafarian colours.
Covered: The party, which appears to have been held in a private room at the couple's Hawaiian hotel, seems to have got quite rowdy with Rihanna ending up with cake all over her face
Covered: The party, which appears to have been held in a private room at the couple's Hawaiian hotel, seems to have got quite rowdy with Rihanna ending up with cake all over her face

Rasta-themed: The dessert in question was, of course, decorated with gold marijuana leaves, a nod to her love for the green leaf
Rasta-themed: The dessert in question was of course, decorated with gold marijuana leaves, a nod to her love for the green leaf
It seems that Brown also splashed out on an extravagant gift for the star, as Rihanna, otherwise known on the social networking site as 'Badgalriri', shared a photograph of her new Goyard designer handbag.
Snapped alongside two traditional Hawaiian Leis, she captioned the image: 'Got the #goyard and getting lei'd at the same damn time.'
Joining Rihanna and Chris at the bash was her younger brother Rorrey, with whom she posed for several pictures with.
Make a wish: Rihanna is seen preparing to blow out the candles on her cake
Make a wish: Rihanna is seen preparing to blow out the candles on her cake

Me and my bro: Joining Rihanna and Chris at the bash was her younger brother Rorrey, with whom she posed for several pictures with
Me and my bro: Joining Rihanna and Chris at the bash was her younger brother Rorrey, with whom she posed for several pictures with
Her best pal Melissa Forde and several other friends were also on hand as the group partied at the soiree.
At one point during the evening, Rihanna ran out to the shore of the beach and splashed around in the water surrounded by several of her Rasta-themed balloons.
Rihanna received the birthday gift she probably wanted the most on Wednesday.
Making a splash: At one point during the evening, Rihanna ran out to the shore of the beach and splashed around in the water surrounded by several of her Rasta-themed balloons
Making a splash: At one point during the evening, Rihanna ran out to the shore of the beach and splashed around in the water surrounded by several of her Rasta-themed balloons

A gift from Chris? It seems that Brown also splashed out on an extravagant gift for the star, as Rihanna shared a photograph of her new Goyard designer handbag
A gift from Chris? It seems that Brown also splashed out on an extravagant gift for the star, as Rihanna shared a photograph of her new Goyard designer handbag
She was joined by Brown, 23, for her 25th celebrations and the pair were spotted taking a romantic walk by the water.
But oddly, given the laid back nature of their destination, Rihanna decided to pull a fishnet skirt over her bikini for the tropical stroll.
She looked as though she'd stepped out of a nightclub in the racy ensemble, which was wildly inappropriate for the locale, and Brown couldn't manage to keep his shorts up.
No missing this pair! Chris held hands with Rihanna as they enjoyed the Hawaii sunshine on Wednesday
No missing this pair! Chris held hands with Rihanna as they enjoyed the Hawaii sunshine on Wednesday
Brown pulled her along the shore before the couple sat together to take in the view and perhaps whisper sweet nothings.
It's just another sign of how seriously the pair seem to be taking their reconciliation.
And another relationship seems to be on the mend as Katy Perry Tweeted an effusive message to her friend after seeming to ignore her at the Grammys.
Holding him close: Rihanna was pleased to see her beau, and wrapped her arm around him
Holding him close: Rihanna was pleased to see her beau, and wrapped her arm around him
She wrote: 'HAPPIEST 25TH BIRTHDAY to my baby girl @rihanna! I wish I could b there drinking Mai-Tais & telling haters to eat a d*ck w/u!'
Rihanna just debuted her first clothes range at London Fashion Week.
While Rihanna had spent last weekend working in the British capital, Brown was in Houston where he headlined the NBA All Star weekend.
Reunited: Rihanna and Chris were reunited earlier this week in Hawaii
Reunited: Rihanna and Chris were reunited earlier this week in Hawaii
Also in Houston was his ex-girlfriend Karreuche Tran, who was spotted partying at a different nightclub to the rapper.
While they were not photographed together, Karreuche raised eyebrows when she tweeted a picture of an ornate ceiling on Saturday with the caption 'Gnight'.
The picture was reported to be of the inside of a mansion hired by Brown for himself and a group of friends for the holiday weekend.
Karreuche soon deleted the picture, but not before it had sparked speculation that she was staying with her ex.
Rihanna and Brown only went public with their reconciliation at this month's Grammys.
Memories: Rihanna Tweeted this picture from her surprise 20th birthday party, you can see Brown on the left hand side
Memories: Rihanna Tweeted this picture from her surprise 20th birthday party, you can see Brown on the left hand side

Read more: http://www.dailymail.co.uk/

Tuesday, February 19, 2013

HALI TETE YA UPATIKANAJI WA MAJI JIJINI DSM; DAWASA NA DAWASCO WAWAJIBISHWE

Kwa nyakati mbalimbali kuanzia mwezi Januari mpaka Februari 2013 pametokea matatizo ya kuharibika kwa baadhi ya mitambo na kupungua kwa uzalishaji wa maji katika vyanzo vya mto Ruvu na hivyo kusababisha matatizo ya maji kwa wananchi wa Jiji la Dar es Salaam na maeneo yanayohudumiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA) katika Mkoa wa Pwani. 

DAWASA imeingia mkataba wa uendeshaji na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wa kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwemo kuendesha mitambo, kusimamia usambazaji wa maji na kufanya matengenezo na kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu huduma zinazotolewa. Aidha, DAWASCO wanapaswa kuzingatia mikataba ya huduma kwa wateja ambayo inaitaka kutoa taarifa kwa umma pale kunapotokea matatizo ya maji. 
Kwa kuzingatia mikataba hiyo, DAWASA na DAWASCO wanapaswa kutoa matangazo kwa umma kuhusu matatizo mapya yaliyojitokeza mwezi Januari na Februari 2013 ili kuepusha matatizo hayo kuhusishwa na hatua ya kuwasilishwa na kuondolewa bungeni kwa hoja binafsi niliyoiwasilisha tarehe 4 Februari 2013 juu ya hatua za haraka za kuboresha upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika Jiji la Dar es salaam. 
Kwa wakazi wa Kibamba, Kwembe, Msigani, Mbezi, Saranga na Kimara ni muhimu wakatambua kwamba nimefuatilia na kujulishwa kwamba palikuwa na tatizo la kupungua kwa uzalishaji wa maji katika chanzo cha Ruvu Juu ambalo limerekebishwa tarehe 12 Februari 2013 hivyo maji yataendelea kupatikana kwa mujibu wa ratiba ya mgawo kama ilivyokuwa awali katika maeneo ambayo yalikuwa yakipata maji tangu mwaka 2012. 
Kwa wateja ambao bado watakuwa na matatizo katika maeneo yao wawasiliane na DAWASCO kupitia namba ya huduma kwa wateja 022 55 00 240 au 0779090904 au info@dawasco.com ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa. 
Kwa wananchi wa Jiji zima la Dar es Salaam ambao maeneo yao yana mabomba yanayojulikana zaidi kama mabomba ya wachina ambayo hayatoi kabisa maji kwa miaka mingi na wale ambao maeneo yao hayana kabisa miundombinu ya mabomba ya maji; hatua za haraka kwa upande wao zinapaswa kutokana na utekelezaji wa hoja binafsi niliyowasilisha bungeni. 
Hali hii inayoendelea hivi sasa ya DAWASA na DAWASCO kushindwa kufanya matengenezo ya mitambo kwa wakati na kushindwa kukabiliana na upungufu wa uzalishaji wa maji kwa ajili ya Jiji la Dar es Salaam kunathibitisha kwamba bunge lilipaswa kujadili hoja binafsi niliyoiwasilisha bungeni. 
Katika maelezo ya hoja pamoja na mambo mengine nilitaka Bunge ambacho ni chombo chenye wajibu wa kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi kurekebisha kasoro zilizopo katika utendaji na uwajibikaji wa Wizara ya Maji na vyombo vinavyohusika na utoaji na udhibiti wa huduma ya maji. 
Ifahamike kuwa majukumu ya utoaji wa huduma ya maji jijini Dar es salaam na baadhi ya maeneo ya Kibaha na Bagamoyo yanafanywa na Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (DAWASA) ambayo ni mmiliki, mkodishaji na msimamizi wa utoaji wa huduma ya majisafi na maji taka na ina wajibu wa kupanga na kugharamia utekelezaji wa miradi ya miundombinu, kuiendeleza na kugharamia matengenezo ya dharura na makubwa. 
Mwaka 2005 DAWASA iliingia mkataba wa miaka kumi (10) wa uendeshaji na Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO). Chini ya mkataba huo majumu ya DAWASCO ni kuendesha mitambo, kusimamia usambazaji wa maji na uondoshaji wa maji taka, kuuza maji kwa wateja , kutoa ankara kwa wateja, kukusanya maduhuli, kulipia gharama za uendeshaji, kutekeleza matengenezo makubwa yanayogharamiwa na DAWASA na kutekeleza uunganishaji wa maji kwa wateja wapya kwa kutumia mfuko wa maji. 
Kisheria na kimkataba DAWASA ina wajibu wa kuisimamia DAWASCO iliyoingia nayo mkataba; hata hivyo kwa kuwa yote ni taasisi na mashirika ya umma ambayo bodi zake na watendaji wake wakuu huteuliwa na mamlaka zile zile na kuripoti kwa watu wale wale, hali ambayo ina athari kwenye utendaji na uwajibikaji. 
Wakati umefika sasa wa mkataba huo kati ya DAWASA na DAWASCO kuwekwa wazi kwa umma; kufanyiwa tathmini ya miaka zaidi ya mitano iliyopita ya utekelezaji; kufanyiwa marekebisho kwa ajili ya kipindi kilichobaki na maandalizi kuanza ya mfumo bora unaopaswa kuanza kuandaliwa baada ya kuisha kwa mkataba huo mwaka 2015. 
Izingatiwe kuwa tarehe 10 Februari 2013 niliiwasilisha kwa wananchi na kutoa wiki mbili kwa Waziri wa Maji kujitokeza kwa umma na kutoa majibu aliyokwepa kuyatoa bungeni na iwapo Waziri Prof. Jumanne Maghembe hatatoa maelezo nitaongoza maandamano ya wananchi kwenda Wizarani kuwezesha hatua kuchukuliwa. 
Imetolewa tarehe 15 Februari 2013 na: 
John Mnyika (Mb)

Saturday, February 16, 2013

Milan falls deeper in love with Mario (and so does his girlfriend) after Balotelli hits 'best form' and his FOURTH goal in three games

Mario Balotelli continued his hot streak for new club AC Milan as he scored his fourth goal in three league games on Friday, one more than he managed in the first half of the 2012-13 season for Manchester City.

The volatile Italian forward has made an instant impact on his return to Milan and he scored yet again with a 78th-minute free-kick at the San Siro in a 2-1 win over Parma.
His girlfriend Fanny Robert Neguesha, a Belgian model, was in the stands to see his curling free-kick and she caught the eye as she made heart shapes with her hands… presumably aimed at Balotelli.
You beauty: Mario Balotelli curls in a 78th-minute free-kick against Parma
You beauty: Mario Balotelli curls in a 78th-minute free-kick against Parma

Flying start! The Italian scored his fourth goal in three league games for Milan
Flying start! The Italian scored his fourth goal in three league games for Milan

Mario Balotelli
Mario Balotelli
Why always me? Balotelli celebrates his goal at the San Siro
Embrace: Balotelli celebrates his goal with team-mate Riccardo Montolivo
Embrace: Balotelli celebrates his goal with team-mate Riccardo Montolivo
'I am playing at a consistent level and nearing my best form,' he told Sky Sport Italia.
'I had already missed two free kicks. But I said to him that if I missed his one, he could have a go.'
Milan boss Massimiliano Allegri said: 'Balotelli scored a great free kick. Balotelli this evening suffered many fouls, but, his reaction was good.'
Since Balotelli left the Etihad in January, not a lot has gone right for Manchester City as draws against QPR and Liverpool as well as defeat at Southampton have all but ended their chances of retaining the Premier League crown they won on a dramatic final day last year.
But the controversial striker has made a flying start to his Milan career, which began with fireworks on the day of his arrival.

In the stands: Balotelli's girlfriend Fanny Robert Neguesha makes a heart shape with her hands
In the stands: Balotelli's girlfriend Fanny Robert Neguesha makes a heart shape with her hands

Guest: Balotelli's girlfriend Fanny Robert Neguesha makes a heart shape with her hands

Leo Messi: 301 official goals for FC Barcelona

The 25-year-old Argentinian broke the 300-goal barrier with FC Barcelona. His goal per game average stands at 0.82

Messi has scored 206 in La Liga, 56 in the Champions League, 24 in the Copa del Rey, 10 in the Spanish Super Cup, 4 in the Club World Cup and 1 European Super Cup

Els 300 gols de Messi

- 206 in La Liga
- 56 in the Champions League
- 24 in the Copa del Rey
- 10 in the Spanish Super Cup
- 4 in the Club World Cup
- 1 in the European Super Cup
No record is safe when Leo Messi is on the pitch. The Argentinian took his all-time official goal tally as a Blaugrana to 301 goals. The 25-year-old only needed 366 matches to reach this mark. His goal-per-game average stands at 0.86. He scored his first on May 1 of 2005 at the Camp Nou against Albacete, his 300th and 301st goals were scored this Saturday against Granada. In addition, he’s netted in 14 consecutive La Liga matches.

48 goals this season

Barça’s number 10 has scored in every competition he’s featured in this season. In La Liga his goal-per-game average stands at 0.86, and in the Champions League it’s 0.75. The Argentinian is improving on the numbers he put up last season. He scored his 100th official goal for Barça on the 17th of January of 2010 (against Sevilla), his 200th, on the 1st of November of 2011 (away to Viktoria Plzen), and his 300th, this evening. This season he’s scored 37 goals in La Liga, and 48 in all competitions.

The tragedy of the babies raised behind bars: Moving portraits of the children of female inmates who grow up in South American jails until the age of four

They've done nothing to earn a prison sentence but the poverty and violence of jail are the first impressions scores of Argentinian children who are born in custody have of life.
A heart-wrenching collection of photographs has captured the South American women raising their children behind bars.

The number of women doing time in Argentina has skyrocketed in the past 20 years, and around a third of all female inmates, who are crammed into small complexes with poor facilities, arrive either pregnant or with young children, whom they are allowed to raise there until the age of four.
Locked up: Silvia Rodas, right, talks with her four-year-old daughter Anahi inside her cell at the Unidad (Unit) 33 prison in Los Hornos, near La Plata in October 17, 2007
Locked up: Silvia Rodas, right, talks with her four-year-old daughter Anahi inside her cell at the Unidad (Unit) 33 prison in Los Hornos, near La Plata in October 17, 2007

Visit: Anahi, 9, right, plays with her mother Silvia Rodas, 25, left, during a visit to the prison where her mother is serving a 15-year sentence in Bahia Blanca October 14, 2012
Visit: Anahi, 9, right, plays with her mother Silvia Rodas, 25, left, during a visit to the prison where her mother is serving a 15-year sentence in Bahia Blanca October 14, 2012

Sad life: Four-year-old Milagros, pictured, peers at her mother Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, in Magdalena August 19, 2012
Sad life: Four-year-old Milagros, pictured, peers at her mother Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, in Magdalena August 19, 2012
The majority of the prisoners are doing time for drug trafficking, robbery or homicide, but their babies are innocent.
 
However, for many of them, the prison ends up being on their birth certificate, acting as a reminder of the life they were born into which, in most cases, follows them throughout their lives.

Photographer Carolina Camps shot a selection of women and the children they raised in prison for an eye-opening look at this difficult way of life.

She captured Sandra Valdez with her eight-month-old daughter Nicole at the Unidad prison in Los Hornos, near La Plata in 2007, and revisited the family late last year, in the slum on the outskirts of Buenos Aires where they live now.
Comfort
Comfort: Sandra Valdez, with her eight-month-old daughter Nicole, looks through bars at the Unidad (Unit) 33 prison in Los Hornos, near La Plata October 13, 2007. For many of the women, their children are their only 'possessions'

Hard life: Prisoner Valeria Cigara, 28, looks out from the window of her cell where she is awaiting trial for her fourth case of robbery, in Magdalena August 21, 2012
Hard life: Prisoner Valeria Cigara, 28, looks out from the window of her cell where she is awaiting trial for her fourth case of robbery, in Magdalena August 21, 2012

Strange existence: Valeria Cigara, 28, left, who is currently in prison awaiting trial for robbery, plays with her four-year-old daughter Milagros in Magdalena, August 19, 2012
Strange existence: Valeria Cigara, 28, left, who is currently in prison awaiting trial for robbery, plays with her four-year-old daughter Milagros in Magdalena, August 19, 2012
Valdez has nine children from three different relationships, and now lives with a fourth partner, receiving subsidies to help feed three of her youngest kids.

Valdez was pregnant with Nicole in 2006 when she was sentenced to two years in prison for selling drugs. She raised Nicole in prison until she was two when they left together.

Another mother, Silvia Rodas, was photographed in 2007 with her four-year-old daughter Anahi inside her cell at the same prison. Rodas was convicted of robbery and attempted homicide at the age of 19 and has since done stints in all the prisons in Buenos Aires province after being moved around due to bad conduct. She ended up in Bahia Blanca, the last prison that would accept her.
Behind bars: Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, looks through the bars in Magdalena August 21, 2012
Behind bars: Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, looks through the bars in Magdalena August 21, 2012

On the outside: Nicole, 5, right, grew up in prison with her mother Sandra Valdez, 40, but now lives in a slum in Buenos Aires September 11, 2012
On the outside: Nicole, 5, right, grew up in prison with her mother Sandra Valdez, 40, but now lives in a slum in Buenos Aires September 11, 2012

Before: Valeria Cigara, pictured when she was pregnant with her first child Milagros in 2007, gave birth to and raised her daughter in the prison until she was two
Before: Valeria Cigara, pictured when she was pregnant with her first child Milagros in 2007, gave birth to and raised her daughter in the prison until she was two
Her daughter Anahi was three years old when she was convicted and lived in prison with her until she was five, a year longer than is usually allowed.

The forgotten children, as they have been called, are the only 'possession' permitted to these woman, who in many cases depend on the companionship of their little ones to help them forget where they are.

But the sad start to life the children receive is often the way it continues, as the experience of living in the lock up for years is something many of them find hard to shake.
House arrest:
House arrest: Julia Romero, who is currently under house arrest to serve the last 11 years of an 18-year sentence for homicide, poses with her then one-year-old son Lautaro inside a jail in Buenos Aires October 13, 2007

Now: Julia Romero, 42, right, is now raising her six-year-old son Lautaro, left, in their Buenos Aires home where she is under house arrest
Now: Julia Romero, 42, right, is now raising her six-year-old son Lautaro, left, in their Buenos Aires home where she is under house arrest

Growing up: Julia Romero, right, dresses her son Lautaro, 6, in their home in Buenos Aires, July 28, 2012. Romero survives by selling household items through the window of her kitchen 24 hours a day
Making do: Julia Romero, right, dresses her son Lautaro, 6, in their home in Buenos Aires, July 28, 2012. Romero survives by selling household items through the window of her kitchen 24 hours a day

Aunt: Jorgelina, sister of Valeria Cigara, 28, combs the hair of Valeria's four-year-old daughter Milagros in La Plata August 19, 2012
Aunt: Jorgelina, sister of Valeria Cigara, 28, combs the hair of Valeria's four-year-old daughter Milagros in La Plata August 19, 2012

Visiting time: Four-year-old Milagros, left, her aunt Jorgelina, center, and her grandmother Silvia, right, arrive to visit Milagros' mother, Valeria Cigara, at a prison in Magdalena, August 19, 2012
Visiting time: Four-year-old Milagros, left, her aunt Jorgelina, center, and her grandmother Silvia, right, arrive to visit Milagros' mother, Valeria Cigara, at a prison in Magdalena, August 19, 2012

Drugs: Jorgelina and her niece, four-year-old Milagros, whose mother Valeria Cigara, 28, is currently in prison awaiting trial for a fourth case of robbery, admits that she suffers from drug addiction
Drugs: Jorgelina and her niece, four-year-old Milagros, whose mother Valeria Cigara, 28, is currently in prison awaiting trial for a fourth case of robbery, admits that she suffers from drug addiction

Home: Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, takes a shower in Magdalena August 21, 2012
Home: Valeria Cigara, 28, who is currently in prison awaiting trial for robbery, takes a shower in Magdalena August 21, 2012

Playing around: Four-year-old Milagros puts on lipstick while her mother Valeria Cigara, 28, watches
Playing around: Four-year-old Milagros puts on lipstick while her mother Valeria Cigara, 28, watches

Kiosk life: Julia Romero, 42, who is under house arrest to serve the last 11 years of an 18-year sentence for homicide, smokes inside her home in Buenos Aires August 10, 2012
Kiosk life: Julia Romero, 42, who is under house arrest to serve the last 11 years of an 18-year sentence for homicide, smokes inside her home in Buenos Aires August 10, 2012

Goodbye: Anahi, 9, hugs her mother Silvia Rodas, 25, after visiting her at the prison where she is serving a 15-year sentence, while a prison guard, right, stands nearby in Bahia Blanca October 14, 2012
Goodbye: Anahi, 9, hugs her mother Silvia Rodas, 25, after visiting her at the prison where she is serving a 15-year sentence, while a prison guard, right, stands nearby in Bahia Blanca October 14, 2012

Companionship: Silvia Rodas, 25, right, lies in bed with her girlfriend Yesica in their shared cell in Bahia Blanca, 350 miles south of the capital Buenos Aires
Companionship: Silvia Rodas, 25, right, lies in bed with her girlfriend Yesica in their shared cell in Bahia Blanca, 350 miles south of the capital Buenos Aires

Lunch: Prisoner Silvia Rodas, right, has lunch with her daughter Anahi, 9, and her father Carlos, during a visit to the prison
Lunch: Prisoner Silvia Rodas, right, has lunch with her daughter Anahi, 9, and her father Carlos, during a visit to the prison

Happy reunion: Prisoner Valeria Cigara, 28, right, hugs her four-year-old daughter Milagros during their visit
Happy reunion: Prisoner Valeria Cigara, 28, right, hugs her four-year-old daughter Milagros during their visit

Police: Julia Romero, left, who is currently under house arrest serving the last 11 years of an 18-year sentence for homicide, is driven by a policeman to a courthouse in Buenos Aires, August 10, 2012
Police: Julia Romero, left, who is currently under house arrest serving the last 11 years of an 18-year sentence for homicide, is driven by a policeman to a courthouse in Buenos Aires, August 10, 2012

Love: Prisoner Silvia Rodas, left, dances with her daughter Anahi, 9, during a visit by Anahi to the prison where Rodas is serving a 15-year sentence for robbery and attempted homicide
Love: Prisoner Silvia Rodas, left, dances with her daughter Anahi, 9, during a visit by Anahi to the prison where Rodas is serving a 15-year sentence for robbery and attempted homicide

Tuesday, February 12, 2013

Hi

Habari zenu marafiki

Thursday, February 7, 2013

Juliana Shonza NITAGOMBEA UENYEKITI WA BAVICHA..SOMA MAHOJIANO YANGU NA GAZETI LA MTAZNZANIA. ZITTO NAMKUBALI,SIO MTUMISHI WAKE

Shonza: Nitagombea uenyekiti Bavicha

Jumatano, Februari 06, 2013 04:42 Na Esther Mbussi

MWENENDO wa mambo ndani ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) unaendelea kuwa tete, kutokana na vita ya makundi yanayotofautiana kimsimamo na kimtizamo kuendelea kushika kasi, Mwenyekiti wa Baraza hilo, John
Heche, alipotangaza kuwatimua kundini baadhi ya wanachama,akiwemo Makamu Mwenyekiti wake, Juliana Shonza.

Uamuzi huo uliotangazwa na Heche unapingwa na Shonza,ambaye amekuwa akieleza kuwa yeye bado ni Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA na kwamba anaendelea na shughuli zake za kiuongozi ndani ya jumuiya hiyo kama kawaida, kwa sababu taratibu za kumtimua zilikuwa batili.

Ili kupata msimamo wa Shonza kuhusu hatma yake ya kisiasa baada ya tangazo la kutimuliwa kwake, Mtanzania Jumatano limefanya naye mahojiano ya ana kwa ana ambapo alisisitiza kauli yake hiyo na kutumia fursa hiyo ya mahojiano kutangaza kuwa atawania uenyekiti wa BAVICHA katika uchaguzi ujao wa viongozi wa Jumuiya za Chadema.

Sambamba na hilo, Shonza pia alitangaza kuwa ni mfuasi wa Zitto kisiasa na kwamba atamuunga mkono iwapo atatekeleza uamuzi
wake wa kuomba kuteuliwa na Chadema kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Mtanzania Jumatano: Umevuliwa uongozi wa BAVICHA. Ukiwa nje ya BAVICHA, unautizamaje mwenendo wako wa kisiasa ukilinganisha na ulipokuwa kiongozi?

Shonza: Mimi siko nje ya Bavicha,mnakosea sana kuamini hivyo.Naomba nieleweke vizuri kwamba mimi bado ni Makamu Mwenyekiti wa Bavicha kwa sababu niliwekwa kwa misingi ya Katiba na misingi ya Katiba pekee ndiyo inayoweza kuniondoa.

Kiongozi aliyechaguliwa kikatiba hawezi kuondolewa kwa matakwa ya mtu kama Wegesa Suguta,anayetumika kama daraja la
mabosi wake kutekeleza matakwa yao na ndiyo maana hata kushinda kwake alishinda kimagumashi. Aliwekwa hapo kwa nguvu ili
awatumikie waliomuweka badala ya Jumuiya ya vijana na chama kwa ujumla.

Mtanzania Jumatano: Jina hili la Wegesa Suguta ni geni katika safu za uongozi wa Chadema kwa ujumla, hapa unamaanisha ni nani huyu na ana nafasi gani ndani ya Bavicha au Chadema?

Shonza: Ni huyo ambaye nyie mnamwita John Heche.

Mtanzania Jumatano: Hili ni jina lake halisi au umembatiza wewe?

Shonza: Mimi nadhani swali hilo aulizwe yeye mwenyewe.Muulizeni hilo la John Heche kalipata wapi? Mimi namjua kwa jina la Wegesa Suguta ambalo liko kwenye vyeti vyake. Nawaachia kazi hiyo.

Mtanzania Jumatano: Unasema wewe bado ni Makamu Mwenyekiti wa Bavicha, unamaanisha Heche alikosea kutoa tamko la kukuondoa madarakani na kukufukuza uanachama?

Shonza: Ndiyo, na hili liko wazi kabisa. Siyo siri kwamba Wegesa (Heche) anaonekana ana sauti sana ndani ya Baraza kwa sababu
kuna vinara ndani ya chama ambao wako nyuma yake na hawa ndiyo waliomuweka hapo alipo ili awatumikie na kutimiza matakwa
yao. Na ndiyo maana unapozungumzia udhaifu wa Wegesa (Heche) hutaacha kumuelezea kwamba ni kiongozi aliyeshindwa kuwaunganisha vijana ndani ya baraza na vijana ndani ya chama wanafahamu hili.

Wegesa (Heche) ana uwezo mdogo wa kiuongozi unaomfanya achukue maamuzi yasiyofuata Katiba ya chama na mwongozo wa baraza. Katika mazingira kama hayo,tegemea kuungwa mkono na watu wasiojitambua lakini kwa watu wanaojitambua ni ngumu kumuunga mkono Wegesa (Heche).

Hata historia inamhukumu kwani katika uchaguzi wa mwaka 2009 wa Bavicha aligombea akagalagazwa vibaya na David Kafulila, lakini kutokana na ukweli kwamba Kafulila hakuwa chagua la viongozi wakuu ndani ya chama kwa sababu misimamo yake thabiti na uwezo alionao, uchaguzi ule ukavurugwa na Kafulila akaambulia kufukuzwa.

Uchaguzi huo baada ya kuingia ‘kidudumtu’ uliitishwa tena mwaka 2011 na Wegesa (Heche) aliyekuwa akipiganiwa na vigogo wa chama alishinda kwa mbinde sana baada ya vijana watatu ambao ni Mtela Mwampamba, Habib Mchange na Nyakarungu wenye uwezo kuondolewa, achana na Ben Saanane aliyeenguliwa kimkakati, lakini bado Wegesa (Heche) alishinda kwa asilimia 51 tu.
Mtanzania Jumatano: Kwa hiyo wewe ni kiongozi unayeongoza kundi lipi? Maana Bavicha imeshatangaza haikutambui.

Shonza: Mimi ni kiongozi, kama yupo anayesema hanitambui basi huyo ni Wegesa (Heche) na wenzake wanaoogopa changamoto
mpya ndani ya chama na kiongozi ni yule anayetambulika kikatiba, sawa! Mimi natambulika kikatiba, alisema nimeondolewa alikiuka
misingi ya Katiba, kwa hiyo sitishwi na maneno ya vibaraka wa aina ya Wegesa (Heche) kwamba eti mimi Shonza si mwanachama
au kiongozi. Thats nonsense. Na ndiyo maana viongozi wenye kujua misingi ya kikatiba huko mikoani wananitambua kama kiongozi wao, bado nashirikiana nao na sitaacha kushirikiana nao.

Tunajenga chama, hatutaki majungu sisi wala kufukuzana, kisa hofu inayotokana na uwezo mdogo wa kiuongozi unaomfanya mhusika kuhofia kupokwa cheo alichonacho.

Mtanzania Jumatano: Zipo tuhuma kwamba ulishiriki kuanzisha Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma) na pia ni mshirika wa
makundi ya Masalia na PM7-pindua Mbowe, tuhuma hizi unazizungumziaje?

Shonza: Nilishasema tangu awali na hata kwenye tamko langu nililisema hili kwamba mpaka sasa sizifahamu tuhuma zangu. Siwezi
jibu tuhuma zilizotolewa na kiongozi ‘kilaza’ kwenye magazeti, kwani nami nitadhihirisha kuwa ni kilaza kama yeye au wao maana
chama kina utaratibu wake wa kuwasilishiana tuhuma kwa viongozi na wanachama wake. Na ndiyo maana hata wao wameogopa kuniandikia hizo tuhuma maana wanajua fika kuwa ni za uongo, uzushi na uzandiki mtupu.

Hata huo ushahidi wanaosema wanao ni uongo na kujijaza upepo tu sawa na kupiga ngoma na kucheza mwenyewe. Wamezoea kuwadanganya Watanzania kwamba wana ushahidi, wana ushahidi wakati hawana chochote, wanacheza na akili za watu ili tu waaminiwe upesi. Mimi ninawaomba waache tabia ya kuwadanganya wananchi kwamba wana ushahidi, sijui intelijensia kumbe wanapeleka majungu na umbea tu. Ni aibu kuwa na kiongozi mpika majungu, msikiliza majungu na anayeendesha chama kimajungu.

Sasa kwa ufupi tu ni kwamba mimi bado ni mwana Chadema na kupitia mahojiano haya, natangaza rasmi ili Watanzania wote wasikie, kwamba nitagombea Uenyekiti waBAVICHA mwaka huu. Mimi ni kamanda na kamanda hakimbii vita hata siku moja.

Mtanzania Jumatano: Unatangaza uamuzi mzito sana huo ukiwa katika mgogoro na viongozi wako, itakuwaje ukikataliwa kugombea.Utachukua hatua gani, utahama chama kama ambavyo imetokea kwa wanasiasa wengine wengi waliokutangulia au utachukua hatua gani?

Shonza: Wakifanya hivyo watakuwa wameamua ‘kubaka’ demokrasia ndani ya chama na chama kisicho na demokrasia ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu. Watanzania na wana Chadema wataona na wataamua iwapo itakuwa hivyo. Lakini hata ikiwa hivyo, sitakaa nikahama chama, nitapambana nikiwa ndani ya chama, nitapigania demokrasia.

Mimi ninaamini hakuna haja ya kukimbia changamoto na ndiyo maana hata wenzangu ninaodaiwa kuvuliwa nao uanachama kwa mujibu wa tangazo la Wegesa (Heche) walipochujwa kutogombea Uenyekiti Bavicha katikati ya uchaguzi, hawakuondoka Chadema.

Mtanzania Jumatano: Vipi kuhusu tuhuma kwamba unatumiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema,Zitto Kabwe kukihujumu chama?

Shonza: Mimi siyo mtu wa kutumiwa, bali ninajituma mwenyewe kwa sababu ninajitambua, sishikiwi akili na mtu. Situmiwi na Zitto wala yeyote ndani ya chama, isipokuwanimekuwa nikishirikiana naye kwa karibu katika shughuli za ujenzi wa chama kwa sababu nyingi,kwanza ni kiongozi kijana ambaye ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekuwa chimbuko la vijana wengi kujiunga na upinzani, nikiwemo mimi mwenyewe.

Pili ni kiongozi aliyekaribu sana na viongozi wote wa Baraza la Vijana bila kubagua kama baadhi ya viongozi wa chama wanavyofanya.

Kwa mfano ni kiongozi pekee aliyetoa gari lake bure litumike kwa shughuli za ujenzi wa baraza japo Wegesa (Heche) amelifanya gari hilo la kwake, ufisadi mwingine huu kutumia mali ya baraza kwa matumizi yake binafsi.

Pia, siku zote nimekuwa nikivutiwa na siasa za Zitto zilizojaa weledi mkubwa katika namna ya kujenga na kusimamia hoja, kuwa na msimamo na kutoyumbishwa.

Zitto si kiongozi wa hovyo kama ambavyo gazeti la kipropaganda la Chadema limekuwa likimchafua, kwamba anamiliki mtandao wa
vijana wanaotaka kuharibu chama. Tatizo ni kwamba ukiwa na uwezo na msimamo wa kusimamia kile unachokiamini, ‘future’ yako
Chadema inakuwa mashakani. Ndicho kilichomkuta marehemu Chacha Wangwe, Kafulila, Walid Kaborou na wengine wengi.

Pamoja na haya bado si mwisho, wako wengine watakuja kuyaongea haya tunayoyaongea sisi sasa, maana hata sisi wanaotuita masalia atukuwa wa kwanza kufukuzwa bila kufuata misingi ya kikatiba.

Kwa hiyo mimi ni muumini wa siasa za Zitto, lakini hanitumii na niweke wazi kabisa kwamba endapo akigombea Urais 2015, kama ilivyo azma yake,nitamuunga mkono kwa asilimia100.

Mtanzania Jumatano: Unazionaje siasa za ndani ndani ya Chadema kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Shonza: Bado kuna kazi kubwa ya kufanya kabla ya 2015 ili tuweze kuchukua nchi, hasa maeneo ya vijijini, bila kuwasahau na kuwaacha wanawake nyuma, maana ndiyo wadau wakubwa na ndiyo wapiga kura wakubwa. Lakini jambo la muhimu ni chama ‘kirecruit’ wanawake wengi na kiwatie moyo badala ya kuwakatisha tamaa.

Lakini jambo la muhimu zaidi ambalo ni lazima viongozi wakuu wa chama wakubali kubadilika tunapoelekea mwaka 2015 ni hili linalohusu uadilifu wao.

Tunawatuhumu viongozi wengine kwa ufisadi, tunawatangazia Watanzania kuwa uadilifu wa viongozi wa vyama vingine ni wa kutiliwa shaka wakati viongozi ndani ya Chadema uadilifu wao una madoa mengi meusi. Hili litatugharimu kama chama.

Viongozi wakubali kujisahihisha, Chadema ni chama cha siasa cha Watanzania wote, huo ndiyo msingi wa kuanzishwa kwake, na siyo chama cha kuwanufaisha wachache wanaojua kuteka akili za wengine kwa sababu wamewachoka waliopo madarakani.

Siasa za ndani ya Chadema ni siasa zilizogubikwa na uviziaji wa demokrasia, ubaguzi wa ukanda na ukabila. Hili ni tatizo ambalo siku Watanzania na wanachama wa Chadema wakiligundua, chama hiki kitaporomoka na kuwa kama vingine vilivyopata kuwa maarufu halafu vikaporomoka kwa kasi ya ajabu.

Mfumo wa sasa wa uendeshwaji wa chama wa mfano wa Saccos haufai. Ni lazima uachwe. Katibu Mkuu, Dk. Willbrod Slaa, kajikopesha Sh. milioni 140 ambayo ni michango ya wanachama na wakati huo huo analipwa donge nono la mshahara wa zaidi ya Sh. milioni saba kwa mwezi pamoja na marupurupu mengine. Hili haliwezekani kunyamaziwa kwa sababu fedha hizi ni za wanachama.

Ni aibu kwa kiongozi kama Dk. Slaa kuudanganya umma wa Watanzania kuwa amekopa Sh. milioni 20 wakati nafsi yake anajua kuwa si kweli. Wako wapi wakaguzi wa hesabu za fedha ndani ya vyama hivi vya siasa!
Inafika mahala tunashindwa kujua kama ni kweli Dk. Slaa wa sasa ndiye yule aliyesoma orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga au la! Kwa sababu matendo yake hayaendani na mahubiri yake.

Bado tuna kazi kubwa ndani ya chama, lakini ninaamini tutajisafisha tu. Acha niwajibike bwana, siku nyingine nihoji.

chanzo:Mtanzania/Juliana shonza
NITAGOMBEA UENYEKITI WA BAVICHA..SOMA MAHOJIANO YANGU  NA GAZETI LA MTAZNZANIA.
ZITTO NAMKUBALI,SIO MTUMISHI WAKE

Shonza: Nitagombea uenyekiti Bavicha

Jumatano, Februari 06, 2013 04:42 Na Esther Mbussi

MWENENDO wa mambo ndani ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) unaendelea kuwa tete, kutokana na vita ya makundi yanayotofautiana kimsimamo na kimtizamo kuendelea kushika kasi, Mwenyekiti wa Baraza hilo, John
Heche, alipotangaza kuwatimua kundini baadhi ya wanachama,akiwemo Makamu Mwenyekiti wake, Juliana Shonza.

Uamuzi huo uliotangazwa na Heche unapingwa na Shonza,ambaye amekuwa akieleza kuwa yeye bado ni Makamu Mwenyekiti wa BAVICHA na kwamba anaendelea na shughuli zake za kiuongozi ndani ya jumuiya hiyo kama kawaida, kwa sababu taratibu za kumtimua zilikuwa batili.

Ili kupata msimamo wa Shonza kuhusu hatma yake ya kisiasa baada ya tangazo la kutimuliwa kwake, Mtanzania Jumatano limefanya naye mahojiano ya ana kwa ana ambapo alisisitiza kauli yake hiyo na kutumia fursa hiyo ya mahojiano kutangaza kuwa atawania uenyekiti wa BAVICHA katika uchaguzi ujao wa viongozi wa Jumuiya za Chadema.

Sambamba na hilo, Shonza pia alitangaza kuwa ni mfuasi wa Zitto kisiasa na kwamba atamuunga mkono iwapo atatekeleza uamuzi
wake wa kuomba kuteuliwa na Chadema kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Mtanzania Jumatano: Umevuliwa uongozi wa BAVICHA. Ukiwa nje ya BAVICHA, unautizamaje mwenendo wako wa kisiasa ukilinganisha na ulipokuwa kiongozi?

Shonza: Mimi siko nje ya Bavicha,mnakosea sana kuamini hivyo.Naomba nieleweke vizuri kwamba mimi bado ni Makamu Mwenyekiti wa Bavicha kwa sababu niliwekwa kwa misingi ya Katiba na misingi ya Katiba pekee ndiyo inayoweza kuniondoa.

Kiongozi aliyechaguliwa kikatiba hawezi kuondolewa kwa matakwa ya mtu kama Wegesa Suguta,anayetumika kama daraja la
mabosi wake kutekeleza matakwa yao na ndiyo maana hata kushinda kwake alishinda kimagumashi. Aliwekwa hapo kwa nguvu ili
awatumikie waliomuweka badala ya Jumuiya ya vijana na chama kwa ujumla.

Mtanzania Jumatano: Jina hili la Wegesa Suguta ni geni katika safu za uongozi wa Chadema kwa ujumla, hapa unamaanisha ni nani huyu na ana nafasi gani ndani ya Bavicha au Chadema?

Shonza: Ni huyo ambaye nyie mnamwita John Heche.

Mtanzania Jumatano: Hili ni jina lake halisi au umembatiza wewe?

Shonza: Mimi nadhani swali hilo aulizwe yeye mwenyewe.Muulizeni hilo la John Heche kalipata wapi? Mimi namjua kwa jina la Wegesa Suguta ambalo liko kwenye vyeti vyake. Nawaachia kazi hiyo.

Mtanzania Jumatano: Unasema wewe bado ni Makamu Mwenyekiti wa Bavicha, unamaanisha Heche alikosea kutoa tamko la kukuondoa madarakani na kukufukuza uanachama?

Shonza: Ndiyo, na hili liko wazi kabisa. Siyo siri kwamba Wegesa (Heche) anaonekana ana sauti sana ndani ya Baraza kwa sababu
kuna vinara ndani ya chama ambao wako nyuma yake na hawa ndiyo waliomuweka hapo alipo ili awatumikie na kutimiza matakwa
yao. Na ndiyo maana unapozungumzia udhaifu wa Wegesa (Heche) hutaacha kumuelezea kwamba ni kiongozi aliyeshindwa kuwaunganisha vijana ndani ya baraza na vijana ndani ya chama wanafahamu hili.

Wegesa (Heche) ana uwezo mdogo wa kiuongozi unaomfanya achukue maamuzi yasiyofuata Katiba ya chama na mwongozo wa baraza. Katika mazingira kama hayo,tegemea kuungwa mkono na watu wasiojitambua lakini kwa watu wanaojitambua ni ngumu kumuunga mkono Wegesa (Heche).

Hata historia inamhukumu kwani katika uchaguzi wa mwaka 2009 wa Bavicha aligombea akagalagazwa vibaya na David Kafulila, lakini kutokana na ukweli kwamba Kafulila hakuwa chagua la viongozi wakuu ndani ya chama kwa sababu misimamo yake thabiti na uwezo alionao, uchaguzi ule ukavurugwa na Kafulila akaambulia kufukuzwa.

Uchaguzi huo baada ya kuingia ‘kidudumtu’ uliitishwa tena mwaka 2011 na Wegesa (Heche) aliyekuwa akipiganiwa na vigogo wa chama alishinda kwa mbinde sana baada ya vijana watatu ambao ni Mtela Mwampamba, Habib Mchange na Nyakarungu wenye uwezo kuondolewa, achana na Ben Saanane aliyeenguliwa kimkakati, lakini bado Wegesa (Heche) alishinda kwa asilimia 51 tu.
Mtanzania Jumatano: Kwa hiyo wewe ni kiongozi unayeongoza kundi lipi? Maana Bavicha imeshatangaza haikutambui.

Shonza: Mimi ni kiongozi, kama yupo anayesema hanitambui basi huyo ni Wegesa (Heche) na wenzake wanaoogopa changamoto
mpya ndani ya chama na kiongozi ni yule anayetambulika kikatiba, sawa! Mimi natambulika kikatiba, alisema nimeondolewa alikiuka
misingi ya Katiba, kwa hiyo sitishwi na maneno ya vibaraka wa aina ya Wegesa (Heche) kwamba eti mimi Shonza si mwanachama
au kiongozi. Thats nonsense. Na ndiyo maana viongozi wenye kujua misingi ya kikatiba huko mikoani wananitambua kama kiongozi wao, bado nashirikiana nao na sitaacha kushirikiana nao.

Tunajenga chama, hatutaki majungu sisi wala kufukuzana, kisa hofu inayotokana na uwezo mdogo wa kiuongozi unaomfanya mhusika kuhofia kupokwa cheo alichonacho.

Mtanzania Jumatano: Zipo tuhuma kwamba ulishiriki kuanzisha Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma) na pia ni mshirika wa
makundi ya Masalia na PM7-pindua Mbowe, tuhuma hizi unazizungumziaje?

Shonza: Nilishasema tangu awali na hata kwenye tamko langu nililisema hili kwamba mpaka sasa sizifahamu tuhuma zangu. Siwezi
jibu tuhuma zilizotolewa na kiongozi ‘kilaza’ kwenye magazeti, kwani nami nitadhihirisha kuwa ni kilaza kama yeye au wao maana
chama kina utaratibu wake wa kuwasilishiana tuhuma kwa viongozi na wanachama wake. Na ndiyo maana hata wao wameogopa kuniandikia hizo tuhuma maana wanajua fika kuwa ni za uongo, uzushi na uzandiki mtupu.

Hata huo ushahidi wanaosema wanao ni uongo na kujijaza upepo tu sawa na kupiga ngoma na kucheza mwenyewe. Wamezoea kuwadanganya Watanzania kwamba wana ushahidi, wana ushahidi wakati hawana chochote, wanacheza na akili za watu ili tu waaminiwe upesi. Mimi ninawaomba waache tabia ya kuwadanganya wananchi kwamba wana ushahidi, sijui intelijensia kumbe wanapeleka majungu na umbea tu. Ni aibu kuwa na kiongozi mpika majungu, msikiliza majungu na anayeendesha chama kimajungu.

Sasa kwa ufupi tu ni kwamba mimi bado ni mwana Chadema na kupitia mahojiano haya, natangaza rasmi ili Watanzania wote wasikie, kwamba nitagombea Uenyekiti waBAVICHA mwaka huu. Mimi ni kamanda na kamanda hakimbii vita hata siku moja.

Mtanzania Jumatano: Unatangaza uamuzi mzito sana huo ukiwa katika mgogoro na viongozi wako, itakuwaje ukikataliwa kugombea.Utachukua hatua gani, utahama chama kama ambavyo imetokea kwa wanasiasa wengine wengi waliokutangulia au utachukua hatua gani?

Shonza: Wakifanya hivyo watakuwa wameamua ‘kubaka’ demokrasia ndani ya chama na chama kisicho na demokrasia ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu. Watanzania na wana Chadema wataona na wataamua iwapo itakuwa hivyo. Lakini hata ikiwa hivyo, sitakaa nikahama chama, nitapambana nikiwa ndani ya chama, nitapigania demokrasia.

Mimi ninaamini hakuna haja ya kukimbia changamoto na ndiyo maana hata wenzangu ninaodaiwa kuvuliwa nao uanachama kwa mujibu wa tangazo la Wegesa (Heche) walipochujwa kutogombea Uenyekiti Bavicha katikati ya uchaguzi, hawakuondoka Chadema.

Mtanzania Jumatano: Vipi kuhusu tuhuma kwamba unatumiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema,Zitto Kabwe kukihujumu chama?

Shonza: Mimi siyo mtu wa kutumiwa, bali ninajituma mwenyewe kwa sababu ninajitambua, sishikiwi akili na mtu. Situmiwi na Zitto wala yeyote ndani ya chama, isipokuwanimekuwa nikishirikiana naye kwa karibu katika shughuli za ujenzi wa chama kwa sababu nyingi,kwanza ni kiongozi kijana ambaye ana uwezo mkubwa wa kiuongozi na amekuwa chimbuko la vijana wengi kujiunga na upinzani, nikiwemo mimi mwenyewe.

Pili ni kiongozi aliyekaribu sana na viongozi wote wa Baraza la Vijana bila kubagua kama baadhi ya viongozi wa chama wanavyofanya.

Kwa mfano ni kiongozi pekee aliyetoa gari lake bure litumike kwa shughuli za ujenzi wa baraza japo Wegesa (Heche) amelifanya gari hilo la kwake, ufisadi mwingine huu kutumia mali ya baraza kwa matumizi yake binafsi.

Pia, siku zote nimekuwa nikivutiwa na siasa za Zitto zilizojaa weledi mkubwa katika namna ya kujenga na kusimamia hoja, kuwa na msimamo na kutoyumbishwa.

Zitto si kiongozi wa hovyo kama ambavyo gazeti la kipropaganda la Chadema limekuwa likimchafua, kwamba anamiliki mtandao wa
vijana wanaotaka kuharibu chama. Tatizo ni kwamba ukiwa na uwezo na msimamo wa kusimamia kile unachokiamini, ‘future’ yako
Chadema inakuwa mashakani. Ndicho kilichomkuta marehemu Chacha Wangwe, Kafulila, Walid Kaborou na wengine wengi.

Pamoja na haya bado si mwisho, wako wengine watakuja kuyaongea haya tunayoyaongea sisi sasa, maana hata sisi wanaotuita masalia atukuwa wa kwanza kufukuzwa bila kufuata misingi ya kikatiba.

Kwa hiyo mimi ni muumini wa siasa za Zitto, lakini hanitumii na niweke wazi kabisa kwamba endapo akigombea Urais 2015, kama ilivyo azma yake,nitamuunga mkono kwa asilimia100.

Mtanzania Jumatano: Unazionaje siasa za ndani ndani ya Chadema kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Shonza: Bado kuna kazi kubwa ya kufanya kabla ya 2015 ili tuweze kuchukua nchi, hasa maeneo ya vijijini, bila kuwasahau na kuwaacha wanawake nyuma, maana ndiyo wadau wakubwa na ndiyo wapiga kura wakubwa. Lakini jambo la muhimu ni chama ‘kirecruit’ wanawake wengi na kiwatie moyo badala ya kuwakatisha tamaa.


Lakini jambo la muhimu zaidi ambalo ni lazima viongozi wakuu wa chama wakubali kubadilika tunapoelekea mwaka 2015 ni hili linalohusu uadilifu wao.

Tunawatuhumu viongozi wengine kwa ufisadi, tunawatangazia Watanzania kuwa uadilifu wa viongozi wa vyama vingine ni wa kutiliwa shaka wakati viongozi ndani ya Chadema uadilifu wao una madoa mengi meusi. Hili litatugharimu kama chama.

Viongozi wakubali kujisahihisha, Chadema ni chama cha siasa cha Watanzania wote, huo ndiyo msingi wa kuanzishwa kwake, na siyo chama cha kuwanufaisha wachache wanaojua kuteka akili za wengine kwa sababu wamewachoka waliopo madarakani.

Siasa za ndani ya Chadema ni siasa zilizogubikwa na uviziaji wa demokrasia, ubaguzi wa ukanda na ukabila. Hili ni tatizo ambalo siku Watanzania na wanachama wa Chadema wakiligundua, chama hiki kitaporomoka na kuwa kama vingine vilivyopata kuwa maarufu halafu vikaporomoka kwa kasi ya ajabu.

Mfumo wa sasa wa uendeshwaji wa chama wa mfano wa Saccos haufai. Ni lazima uachwe. Katibu Mkuu, Dk. Willbrod Slaa, kajikopesha Sh. milioni 140 ambayo ni michango ya wanachama na wakati huo huo analipwa donge nono la mshahara wa zaidi ya Sh. milioni saba kwa mwezi pamoja na marupurupu mengine. Hili haliwezekani kunyamaziwa kwa sababu fedha hizi ni za wanachama.

Ni aibu kwa kiongozi kama Dk. Slaa kuudanganya umma wa Watanzania kuwa amekopa Sh. milioni 20 wakati nafsi yake anajua kuwa si kweli. Wako wapi wakaguzi wa hesabu za fedha ndani ya vyama hivi vya siasa!
Inafika mahala tunashindwa kujua kama ni kweli Dk. Slaa wa sasa ndiye yule aliyesoma orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga au la! Kwa sababu matendo yake hayaendani na mahubiri yake.

Bado tuna kazi kubwa ndani ya chama, lakini ninaamini tutajisafisha tu. Acha niwajibike bwana, siku nyingine nihoji.

chanzo:Mtanzania/Juliana shonza

Tuesday, February 5, 2013

Neymar, Ronaldo, Tevez, Hagi and Maldini... why February 5 is a special day for football

Any footy-mad dads who have welcomed a son into the world today have another reason to celebrate as February 5 has been the birth date for some of the world's top players.
Real Madrid and former Manchester United winger Cristiano Ronaldo, Brazilian superstar Neymar, former Barcelona forward Gheorghe Hagi, Manchester City striker Carlos Tevez and Italian legend Cesare Maldini all share the same birthday.
Scroll down for video
Happy returns: Neymar tweeted this picture of him with birthday cake at team hotel today
Snap happy: Neymar tweeted picture of him with birthday cake at the team hotel today
Special one: Cristiano Ronaldo receives congratulations for his birthday from the fans
Special one: Cristiano Ronaldo receives congratulations for his birthday from the fans

But Ronaldo's special day was slightly soured when he was taunted with chants of 'Messi, Messi' - in support of Barcelona rival Lionel Messi - as he signed autographs for fans in Portugal after arriving in the country for Wednesday's friendly against Ecuador.
Also celebrating today are former England and Manchester City manager Sven Goran Eriksson, ex-Scotland striker Billy Dodds, former Arsenal and Rangers midfielder Giovanni van Bronckhorst, ex-Australia centre forward John Aloisi and Vedran Corluka, the Lokomotiv Moscow and Croatia defender who used to play for Manchester City and Tottenham.
Neymar of Brazil
Manchester City's Carlos Tevez
Birthday boys: Neymar (left) and Carlos Tevez (right)
Happy returns: Former Romania and Barcelona star Gheorghe Hagi (right)
Happy returns: Former Romania and Barcelona star Gheorghe Hagi (right)

Birthday boys

Cesare Maldini (football) - Former Italy coach, born 1932.
Sven-Goran Eriksson (football) - Former England and Manchester City manager, now technical director at Al Nasr, born 1948.
Gheorghe Hagi (football) - Former Romania and Barcelona striker, now retired, born 1965.
Jose Maria Olazabal (golf) - Double US Masters champion and victorious European Ryder Cup captain in 2012, born 1966.
Marcus Gronholm (motor racing) - Double World Rally champion, now retired, born 1968.
Billy Dodds (football) - Former Scotland striker, born 1969.
Giovanni van Bronckhorst (football) - Former Arsenal and Rangers midfielder, born 1975.
John Aloisi (football) - Australia international and former Coventry striker, now manager of Melbourne Heart, born 1976.
Carlos Tevez (football) - Manchester City and Argentina striker, born 1984.
Cristiano Ronaldo (football) - Real Madrid and Portugal winger, born 1985.
Vedran Corluka (football) - Lokomotiv Moscow defender, formerly with Tottenham, born 1986.


Read more: http://www.dailymail.co.uk/.